Breaking News
recent

"You are not MMG no more, You broke" Meekmill amtupia maneno Wale, ni baada ya kumsifia Drake.

Meekmill na Wale wameingia kwenye vita maneno kwenye mitandao baada ya Wale kumsifia Drake alipoulizwa kuhusiana na beef la MeekMill na Drake.
Kufuatia Mahojiano aliyofanya na kipindi cha Breakfast Club, Wale alisema kuwa Meekmill hakujipanga vilivuokushindana na Drake, aliongeza kuwa Meekmill alienda na penseli kwenye pambano la bunduki.
“Nadhani Meek alikuja na penseli kwenye pambano la bunduki, hata hajaja na kisu, kaja na penseli na karatasi kabisa, akajaribu kumkata na karatasi, huwezi kushindana na mtu kama Drake” Alisisitiza Wale
Wale alimsifia Drake kuwa mbali ya kuwa aliachia Disstrack mbili mfululizo aliziachia kwa njia yenye manufaa zaidi kwa kupitia Apple music kuliko Meekmill ambaye aliachia kupitia kwenye kipindi tu cha redio.
MeekMill hakupenda maneno hayo, na alichukua Time kuandika ujumbe mrefu kwenye Instagram kumjibu Wale, Meek amedai wale amemuongelea ili apate kick ya wimbo wake anaotaka kuachia
“Niggas b doing all this to drop a new record gossiping about they hoe ass feelings and they personal life because they miserable and nobody don’t rock wit them! Really stay away from me Fam! U not MMG NOMORE! This why u can’t get my number you a hoe!😂😂😂😂 and u dead cracked right now @wale foh nuttttt! I wasn’t even mad at you Fam u got some real issues with yaself and you jealous! Broke rapper! This my last time I think addressing shit on the Internet …. But if I don’t talk about it one of you dudes gone get hurt speaking my name like it’s sweet! Y’all niggas gone stop mentioning my name like it ain’t no consequences…. I’m off this internet! I don’t speak on Mmg in interviews unless it’s good! U a clown … We don’t wanna hear you nomore Fam! Go jump off a roof like u been tryna do chump! He not MMG IM MAKING THAT CALL … He been tryna call me saying Rozay owe us money… He don’t owe me shit and if he do I’ll get it later …. Go that away! ” Meekmill ameandika kwenye Instagram
Muda mfupi baada ya MeekMill kuandika hiyo, Wale alitumia Twitter kumjibu
ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.