Breaking News
recent
0

Lazio: Minala ana miaka 17 sio 42

Lazio; Minala ana miaka 17 sio 42 Uchunguzi wa shirikisho la soka la Italia umebaini kuwa mchezaji tineja wa Cameroun Joseph Minala ana ...
Read More
0

Google kufuta historia ya watu Ulaya

Google ina wasiwasi kuwa mataifa kandamizi yatafurahia sana amri ya mahakama Ulaya Kampuni ya Google inatarajiwa kuzindua huduma ambayo,...
Read More
0

Mtanzania ahamasisha dunia

Hebu tafakari, kusafiri kutoka nchini Chile Amerika ya Kusini hadi London na kisha kuvuka mpaka na kuingia Ujerumani na kisha kwenda Afr...
Read More
0

White House yashutumu silaha za Urusi

Rais Barack Obama akizungumzia hali ya vita nchini Ukraine akiwa Ikulu ya White House. Ikulu ya White House imeeleza masikitiko yake kuh...
Read More
0

Apple kuinunua Beats kwa dola bilioni 3

Kampuni kubwa ya teknolojia Apple imethibitisha kwamba itanunua vipokea sauti na huduma ya kusikiliza muziki kupitia kwenye mtandao wa ...
Read More
0

Mchawi mtanzania jela miaka 3 Kenya

Vifaa walivyopatikana navyo washukiwa walipokamatwa na polisi Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya ...
Read More
0

Ford yaagiza magari milioni1 kurejeshwa

Magari zaidi ya milioni moja yanahitilafu ya usukani Kampuni kubwa ya kutengeza magari nchini Marekani imeagiza magari milioni 1.4 yare...
Read More
0

MWANAMKE MPAKISTAN KUPIGWA MAWE NA KUFA, UN YAINGILIA!

Kamishna wa Umoja wa Mataifa (UN) anayesimamia Haki za Kibinadamu, Navi Pillay, amejiunga na maelfu ya watu duniani wanaoshutumu vikali ...
Read More
0

RACHEL HAULE NA MWANAYE, KUZIKWA LEO DAR!

Msanii wa filamu Rachel Haule 'Recho' aliyefariki dunia siku ya juzi, pamoja na mwanaye aliyejifungua akafariki, watazikwa jijin...
Read More
0

MMILIKI WA TIMU YA MANCHESTER UNITED, AFARIKI DUNIA!

Mmiliki wa timu ya Manchester United, Malcolm Glazer, amefariki dunia huko nyumbani kwake Marekani akiwa na umri wa miaka 85. Glazer al...
Read More
Powered by Blogger.