Breaking News
recent

Rekodi nyingine ya Cristiano Ronaldo hii hapa

Mshambuliaji wa Real Madrid Christiano Ronaldo ameingia tena kwenye headlines za michezo baada ya jana kufanikiwa kuhitimisha mabao       500 kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malmo FF ikiwa ugenini.Idadi hiyo    inamfanya mshambuliaji huyo staa kufikia rekodi ya gwiji wa soka wa Real                  Raul aliyekuwa akiongoza kwa kuifungia klabu hiyo magoli mengi.Staa ambaye              ni mchezaji bora wa dunia alifunga mabao hayo katika dakika ya 29 na 90              Uwanja wa Swedbank katika mchezo wa Kundi A.Ronaldo amefikisha mabao 82                katika Ligi ya Mabingwa na kuhitimisha idadi ya mabao 501  tangu aanze kucheza     soka

ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.