Breaking News
recent

Diamond kutumbuiza kwenye Tamasha la ‘BET Experience Afrika’ pamoja na mastaa wengine wakubwa Duniani.

Staa wa Nana, Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya wasanii watako perform kwenye Tamasha la ‘BET Experience Africa’ December 12 Johannesburg, Afrika kusini.
 Diamond ataungana na Tamar Braxton, Flavour, Maxwell na wasanii wengine wakubwa wa ndani na nje ya Afrika, waandaji wa Tamasha hilo walitangaza kuwa mbali ya wasanii wa ndani ya Afrika, Mastaa wakubwa kutoka Marekani watadondoka Afrika ikiwemo washindi wa Tuzo za Grammy.
 Orodha ya wasanii watakaoperfom kwenye Tamasha hilo inaendelea kutangazwa.



ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.