Breaking News
recent

Wasanii wakundi la Yamoto Band waandika wimbo mpya wa Dully Sykes ‘Tuachie’

Wimbo mpya wa Dully Sykes umeandikwa na wasanii wa kundi la Yamoto Band, wimbo unaitwa Tuachie.
Dully sykes amesema mambo ya kuandikiwa siku hizi sio tatizo hasa na mtu ambaye anafanya vizuri kwasasa,
“Wimbo unaitwa tuachie na wimbo umeandikwa na Yamoto Band, mpaka sehemu yangu wameandika wao, nimefanya hivyo ilinipate kitu tofauti, hivi ni vitu vya kileo,  vijana wanafanya vizuri so kwanini nisifanye nao kazi, nikama Micheal Jackson alivyofanya kazi na Akon”  Alisema  Dully
Katika hatua nyingine Dully amesema ukiachana na Yamoto Band, amefanya kazi na Vaness Mdee, Christian Bella na Mzee Yusuf.


ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.