Breaking News
recent

Orodha ya kwanza ya washindi wa Tuzo za MOBO yatangazwa.

Preshow kabla ya sherehe zenyewe za utoaji wa Tuzo za MOBO ‘Music of Black Origin’ imefanyika usiku wa jana huko London ambapo washindi wa tatu wa kwanza wa tuzo hizo walitangazwa.
Mwanamziki wa UK, Shakka alishinda tuzo ya ‘Best RnB/Soul Act award’, Binker na Moses walishinda tuzo ya ‘Best Jazz Act’ na Muimbaji wa ‘Airborne’ Faith child aliibuka mshindi wa Tuzo ya ‘Best Gospel Act’
Sherehe yenyewe ya utoaji wa Tuzo hizo itafanyika jumatano ya wiki ijayo [Nov. 4] ambapo kutoka Afrika wasanii wanaowania kipengele cha Best African Act ni pamoja na Shatta wale, Davido, AKA, Wizkid na Fuse ODG.
ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.