Kwa sababu kila mtu anahitaji kuwa na
kifaa kizuri cha Mawasiliano, nimeona kuna umuhimu pia uipate na hii
mpyampya kutoka Kampuni ya Kampuni ya Microsoft, Marekani.
Microsoft
ni kampuni ambayo imewekeza sana kwenye Teknolojia, walianza na
biashara ya kutengeneza program za Computer, baadae wakaendelea kukuza
biashara yao… mwaka 2014 Microsoft waliamua kuinunua pia Kampuni ya Nokia na kuendelea na Biashara ya uzalishaji wa Simu.
No comments:
Post a Comment