Breaking News
recent

[Breaking News] Laptop computer ya kwanza ya aina yake kutoka kampuni ya microsoft corporation...Ina muundo wa kipekee!


Kwa sababu kila mtu anahitaji kuwa na kifaa kizuri cha Mawasiliano, nimeona kuna umuhimu pia uipate na hii mpyampya kutoka Kampuni ya Kampuni ya Microsoft, Marekani.
Microsoft ni kampuni ambayo imewekeza sana kwenye Teknolojia, walianza na biashara ya kutengeneza program za Computer, baadae wakaendelea kukuza biashara yao… mwaka 2014 Microsoft waliamua kuinunua pia Kampuni ya Nokia na kuendelea na Biashara ya uzalishaji wa Simu.






ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.