Breaking News
recent

Netflix yaongeza huduma zake, sasa unaweza kuitumia ukiwa Tanzania......

Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Netflix & Chill? Sasa hataTanzania kipo.
Kampuni ya Netflix inayotoa huduma za streaming movies na series imetangaza kusambaza huduma zake katika nchi 130 zaidi, ikiwemo Tanzania. Huduma hizo unazipata kwa kulipia kwa mwezi kuanzia $7 kulingana na kifurushi unachohitaji.
Huduma Netflix ni sawa na huduma zinazotolewa na ving’amuzi ila yake inabidi kuwa na access ya Internet, Mwanzo huduma hii ilikuwa inapatikana Marekani tu.
Sasa kazi ni kwako Netflix &Chill
ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.