Breaking News
recent

Familia ya Davido yamaliza tofauti zake na Mama wa mtoto wake......

Ugomvi wa mwanamuziki wa Nigeria, Davido na mama wa mtoto wake Sophia Momodu umekwisha.
Familia hizo mbili zimefanya mkutano wa makubaliano ya malezi ya mtoto wao na pia wamekubaliana kutogombana kwenye mitandao ya kijamii, Pia Sophia Momodu pia amepewa haki za kumtembelea mtoto wao anayeishi na dada yake Davido ‘Ashley Adeleke’.
Mkutano ulihudhuriwa na Sophia,baba mzazi wa Davido Deji Adeleke, Bwana na Bibi Dele Momodu na wakili wao.
Familia hizo mbili ziliingia kwenye vita kubwa ya malezi ya mtoto wao baada ya Sophia kudai kuwa Davido na famili yake walikua wamepanga kumtorosha mtoto wake nje ya nchi bila ruhusa yake.
ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.