Breaking News
recent

Huwezi kumshindanisha Kendrick Lamar na Drake, Kendrick yupo juu – Barack Obama

 Rais wa Marekani, Barack Obama Ana amini Kendrick Lamar anauwezo zaidi ya Drake.
Alipokuwa akifanya mahojiano na watangazaji wa vipindi vya Youtube, Destin Sanlin, SWooZie na Ingrid Nilsen aliulizwa nani anadhani atashinda iwapo litatokea beef kati ya Kendrick Lamar na Drake , Akamchagua Kendrick Lamar ambaye anaongoza kwa nomination nyingi zaidi kwenye tuzo as Grammy mwaka huu.

“You gotta go with Kendrick,” Alisema rais Obama  “I’m just saying. I think Drake is an outstanding entertainer, but Kendrick… his lyrics. His last album [To Pimp A Butterfly] was outstanding. Best album I that I think [I heard] last year.”

Rais Obama ni shabiki mkubwa wa Kendrick Lamar, hivi karibuni alisema Album ya Kendrick Lamar To pimp a Butterfly ndio album yake bora zaidi mwaka 2015.
ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.