Breaking News
recent

Kumbe ikitokea free-kick, Neymar anawaza goli tu ..!! Messi anamchukulia poa? Jibu ni hili..

Staa wa Soka Neymar da Silva Santos Júnior ni mkali ambaye anakamilisha kikosi cha watatu wakali wa Barcelona, yani hapo yuko yeye Luis Suárez na Lionel Messi.
Kwenye Timu inaweza ikatokea Mchezaji mmoja anapewa nafasi zaidi ya kupiga mashuti ya penati kama ikitokea, au nafasi ya kupiga faulo.. kuna vitu vinaendelea Uwanjani ambavyo watu wa nje huenda hawajui…
maxresdefault
Nimekuwa napiga sana free-kicks nikiwa na Klabu yangu ya Barcelona na hata kwenye Timu ya Taifa… Huwa napenda nione nafanya vizuri zaidi kila wakati, na kila ikitokea nafasi ya kupiga najiweka tayari kushinda goliNeymar.
Majina ya wakali watatu wa Barcelona yanatambuliks lakini Neymar anasema sio kila mtu anaoewa nafasi ya kupiga free-kicks ikitokea >>>> ‘Sina hofu yoyote kuhusu Messi kupiga free-kicks nyingi zaidi, sisi wote tunajua yeye ni mkali zaidi na mara nyingi anatupa ushindi wa Barcelona… ikitokea akinipa nafasi ya kupiga free-kicks nakuwa tayari wakati wowote, mara nyingi huwa tunajadiliana nani apige lakini mara nyingi Messi anatusaidia‘ >>> Neymar.
Ninacho kipande cha video, unaweza kucheki free-kicks za Neymar kwenye ubora wake kuanzia mwaka 2011 mpaka 2015.

ABC

ABC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.