Idara ya Haki ya Marekani imesema
huenda shirika la upelelezi la FBI limegundua njia ya kufungua simu ya
mkononi ya muuaji aliyewapiga risasi watu eneo la San Bernardino, Syed
Rizwan Farook.
Idara hiyo imeiomba mahakama kuahirisha kusikilizwa
kwa kesi kati ya shirika hilo dhidi ya kampuni ya utengenezaji wa simu,
Apple.ABC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment